Yohana Mbatizaji alikuwa akiuhuburi nyikani ubatizo wa toba wa ondoleo la dhambi. Si hilo tu, alikuwa ni mtu ambaye ataufanya ubatizo wa Yesu ambao utazihamishia dhambi za watu wote wa ulimwengu kwenda kwa Yesu. Kwa kuwa Yohana Mbatizaji alikuwa ni nabii wa mwisho wa kipindi cha Agano la Kale na mtu aliyezaliwa katika nyumba ya Kuhani Mkuu, basi ndio maana alikuwa ni mtumishi ambaye atazihamishia dhambi zote za wanadamu kwenda kwa Yesu kwa kupitia ubatizo kwa mujibu wa mapenzi ya Mungu.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Kifungu cha Maandiko cha leo kinatoka katika injili ya Mathayo 17:1-13. Kifungu hiki kinaeleza kuwa Yesu aliwachukua wanafunzi watatu, Petro, Yakobo, na Yohana na...
Kifungu cha maandiko cha leo kinatoka katika injili ya Yohana 1:30-36. Watumishi wa Mungu wanaoamini katika injili ya maji na Roho wanafahamu wote kuwa...
Katika Injili ya Yohana sura ya 1 aya ya 6-7 imeandikwa hivi kumhusu Yohana Mbatizaji “Palitokea mtu ametumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yohana....