Yohana Mbatizaji alikuwa akiuhuburi nyikani ubatizo wa toba wa ondoleo la dhambi. Si hilo tu, alikuwa ni mtu ambaye ataufanya ubatizo wa Yesu ambao utazihamishia dhambi za watu wote wa ulimwengu kwenda kwa Yesu. Kwa kuwa Yohana Mbatizaji alikuwa ni nabii wa mwisho wa kipindi cha Agano la Kale na mtu aliyezaliwa katika nyumba ya Kuhani Mkuu, basi ndio maana alikuwa ni mtumishi ambaye atazihamishia dhambi zote za wanadamu kwenda kwa Yesu kwa kupitia ubatizo kwa mujibu wa mapenzi ya Mungu.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Watu wengi hawafahamu ni kwa nini Yesu alikuja hapa ulimwenguni na akaupokea ubatizo toka kwa Yohana Mbatizaji. Lakini ni lazima tufahamu vizuri kuhusu dhumuni...
Marko 1:2 inasema, “Tazama, namtuma mjumbe wangu mbele ya uso wako.” Ndugu zangu waamini, unaweza kuipata haki ya Mungu ikiwa tu utatupilia mbali uelewa...
Nilipita hapa na pale kukunua ili kukunua mashine ya kudurufu na nikaona watu wengi walikuwa wametingwa wakijaribu kutafuta kitu kitakacho waridhisha. Walikuwa ni watu...