Yohana Mbatizaji alikuwa akiuhuburi nyikani ubatizo wa toba wa ondoleo la dhambi. Si hilo tu, alikuwa ni mtu ambaye ataufanya ubatizo wa Yesu ambao utazihamishia dhambi za watu wote wa ulimwengu kwenda kwa Yesu. Kwa kuwa Yohana Mbatizaji alikuwa ni nabii wa mwisho wa kipindi cha Agano la Kale na mtu aliyezaliwa katika nyumba ya Kuhani Mkuu, basi ndio maana alikuwa ni mtumishi ambaye atazihamishia dhambi zote za wanadamu kwenda kwa Yesu kwa kupitia ubatizo kwa mujibu wa mapenzi ya Mungu.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Hata Wakristo wa leo wanakiri kuwa wanamwamini Yesu kuwa ni Mwokozi wao, lakini wengi wao hawafahamu kuwa Yesu ni Bwana aliyetukomboa toka katika dhambi...
Kifungu cha Maandiko cha leo kinatoka katika injili ya Mathayo 17:1-13. Kifungu hiki kinaeleza kuwa Yesu aliwachukua wanafunzi watatu, Petro, Yakobo, na Yohana na...
Ni huduma gani hasa ambayo Yohana Mbatizaji aliitimiza kabla ya Yesu? Wakristo wengi leo hii hawamfahamu vizuri Yohana Mbatizaji, hivyo wanatakiwa kupata mtazamo mpya...