Hata Wakristo wa leo wanakiri kuwa wanamwamini Yesu kuwa ni Mwokozi wao, lakini wengi wao hawafahamu kuwa Yesu ni Bwana aliyetukomboa toka katika dhambi zetu zote kwa kupitia injili ya maji na Roho. Hivyo ni muhimu sana kuwathibitisha kwa kutumia injili hii ya maji na Roho kuwa kwa hakika Yesu ni Mwokozi. Kwa kuwa wote wanazaliwa kama wenye dhambi, basi wote wanapaswa kuamini katika injili ya maji na Roho ili waweze kuoshwa dhambi zao. Kwa maneno mengine, ili waweze kuzaliwa tena upya, ni lazima waamini katika injili ya maji na Roho, na wanaweza kumwona Bwana mara watakapoamini hivyo tu. Kupokea ama kuto kupokea ondoleo la dhambi na kuzaliwa tena upya kunategemea ikiwa tunamwamini Yesu Kristo kiusahihi.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Ni huduma gani hasa ambayo Yohana Mbatizaji aliitimiza kabla ya Yesu? Wakristo wengi leo hii hawamfahamu vizuri Yohana Mbatizaji, hivyo wanatakiwa kupata mtazamo mpya...
Injili ya Yohana, Vitabu vitatu vya 1, 2, na 3 Yohana, na Kitabu cha Ufunuo ni Maandiko yaliyoandikwa na Mtume Yohana. Kwa kupitia Maandiko...
Ni hakika kuwa Yohana Mbatizaji alikuwa ni mtu muhimu sana katika Biblia. Yohana Mbatizaji aliwalilia watu wa Israeli ili wafanye toba. Ni lazima tuzikumbuke...