Hata Wakristo wa leo wanakiri kuwa wanamwamini Yesu kuwa ni Mwokozi wao, lakini wengi wao hawafahamu kuwa Yesu ni Bwana aliyetukomboa toka katika dhambi zetu zote kwa kupitia injili ya maji na Roho. Hivyo ni muhimu sana kuwathibitisha kwa kutumia injili hii ya maji na Roho kuwa kwa hakika Yesu ni Mwokozi. Kwa kuwa wote wanazaliwa kama wenye dhambi, basi wote wanapaswa kuamini katika injili ya maji na Roho ili waweze kuoshwa dhambi zao. Kwa maneno mengine, ili waweze kuzaliwa tena upya, ni lazima waamini katika injili ya maji na Roho, na wanaweza kumwona Bwana mara watakapoamini hivyo tu. Kupokea ama kuto kupokea ondoleo la dhambi na kuzaliwa tena upya kunategemea ikiwa tunamwamini Yesu Kristo kiusahihi.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Kifungu cha maandiko cha leo kinatoka katika injili ya Yohana 1:30-36. Watumishi wa Mungu wanaoamini katika injili ya maji na Roho wanafahamu wote kuwa...
Yohana Mbatizaji alikuwa akiuhuburi nyikani ubatizo wa toba wa ondoleo la dhambi. Si hilo tu, alikuwa ni mtu ambaye ataufanya ubatizo wa Yesu ambao...
Ni hakika kuwa Yohana Mbatizaji alikuwa ni mtu muhimu sana katika Biblia. Yohana Mbatizaji aliwalilia watu wa Israeli ili wafanye toba. Ni lazima tuzikumbuke...