Hata Wakristo wa leo wanakiri kuwa wanamwamini Yesu kuwa ni Mwokozi wao, lakini wengi wao hawafahamu kuwa Yesu ni Bwana aliyetukomboa toka katika dhambi zetu zote kwa kupitia injili ya maji na Roho. Hivyo ni muhimu sana kuwathibitisha kwa kutumia injili hii ya maji na Roho kuwa kwa hakika Yesu ni Mwokozi. Kwa kuwa wote wanazaliwa kama wenye dhambi, basi wote wanapaswa kuamini katika injili ya maji na Roho ili waweze kuoshwa dhambi zao. Kwa maneno mengine, ili waweze kuzaliwa tena upya, ni lazima waamini katika injili ya maji na Roho, na wanaweza kumwona Bwana mara watakapoamini hivyo tu. Kupokea ama kuto kupokea ondoleo la dhambi na kuzaliwa tena upya kunategemea ikiwa tunamwamini Yesu Kristo kiusahihi.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Marko 1:2 inasema, “Tazama, namtuma mjumbe wangu mbele ya uso wako.” Ndugu zangu waamini, unaweza kuipata haki ya Mungu ikiwa tu utatupilia mbali uelewa...
Injili ya Luka katika sura ya 1 aya ile ya 17 inaeleza kuwa Yohana Mbatizaji alikuwa ni mtu aliyekuja katika roho na nguvu ya...
Katika Injili ya Yohana sura ya 1 aya ya 6-7 imeandikwa hivi kumhusu Yohana Mbatizaji “Palitokea mtu ametumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yohana....