8. Ieneze Injili ya Kweli na Tendo la Haki la Yesu (Mathayo 3:1-17)

Episode 8 January 23, 2023 00:23:34
8. Ieneze Injili ya Kweli na Tendo la Haki la Yesu (Mathayo 3:1-17)
Uhusiano Kati ya Huduma Ya YESU na Ile Ya YOHANA MBATIZAJI Kama Ilivyoandikwa Katika Injili Nne
8. Ieneze Injili ya Kweli na Tendo la Haki la Yesu (Mathayo 3:1-17)

Jan 23 2023 | 00:23:34

/

Show Notes

Ni hakika kuwa Yohana Mbatizaji alikuwa ni mtu muhimu sana katika Biblia. Yohana Mbatizaji aliwalilia watu wa Israeli ili wafanye toba. Ni lazima tuzikumbuke kikamilifu kazi za Yesu na Yohana Mbatizaji. Yesu, aliyekuja hapa duniani aliwaokoa wanadamu, akitii mapenzi ya Mungu wakiwa pamoja na Yohana Mbatizaji. Yohana Mbatizaji na Yesu walikuja hapa duniani na wakayakamilisha matendo ya haki.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 12

January 23, 2023 01:00:21
Episode Cover

12. Tumwamini Yesu Tukiwa na Ufahamu wa Yohana Mbatizaji (Luka 1:1-17)

Nilipita hapa na pale kukunua ili kukunua mashine ya kudurufu na nikaona watu wengi walikuwa wametingwa wakijaribu kutafuta kitu kitakacho waridhisha. Walikuwa ni watu...

Listen

Episode 3

January 24, 2023 00:47:01
Episode Cover

3. Yohana Mbatizaji, Aliyekuja Katika Njia ya Haki (Mathayo 17:1-13)

Kifungu cha Maandiko cha leo kinatoka katika injili ya Mathayo 17:1-13. Kifungu hiki kinaeleza kuwa Yesu aliwachukua wanafunzi watatu, Petro, Yakobo, na Yohana na...

Listen

Episode 9

January 23, 2023 01:30:41
Episode Cover

9. Uhusiano Kati ya Kazi ya Yohana Mbatizaji na Injili ya Upatanisho wa Dhambi zetu (Mathayo 21:32)

Katika Injili ya Yohana sura ya 1 aya ya 6-7 imeandikwa hivi kumhusu Yohana Mbatizaji “Palitokea mtu ametumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yohana....

Listen