Nilipita hapa na pale kukunua ili kukunua mashine ya kudurufu na nikaona watu wengi walikuwa wametingwa wakijaribu kutafuta kitu kitakacho waridhisha. Walikuwa ni watu maskini kiroho pamoja na kuwa walikuwa wakiishi katika wakati huu ambapo ulimwengu huu umejaa vitu na utajiri. Walionekana kama vile watu wanaozunguka jangwani wakitafuta njia ya kuwawezesha kupata bilauri ya maji kwa sababu ya kiu kali. Kwa kweli kimtazamo walikuwa ni watu matajiri, wa kimwili, na wa kidunia, lakini kwa kweli nilipoziangalia nafsi zao nilihisi wakionekana maskini na waliotengwa. Kwa kuwatazama kwa macho yangu, walikuwa ni watu waliokuwa wakipigana na kifo kwa sababu walikuwa wamepigwa na umaskini na njaa katika roho zao; walikuwa ni watu waliokuwa wakifa kwa sababu ya njaa kali ya kiroho.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Ni hakika kuwa Yohana Mbatizaji alikuwa ni mtu muhimu sana katika Biblia. Yohana Mbatizaji aliwalilia watu wa Israeli ili wafanye toba. Ni lazima tuzikumbuke...
Ni huduma gani hasa ambayo Yohana Mbatizaji aliitimiza kabla ya Yesu? Wakristo wengi leo hii hawamfahamu vizuri Yohana Mbatizaji, hivyo wanatakiwa kupata mtazamo mpya...
Injili ya Yohana, Vitabu vitatu vya 1, 2, na 3 Yohana, na Kitabu cha Ufunuo ni Maandiko yaliyoandikwa na Mtume Yohana. Kwa kupitia Maandiko...