12. Tumwamini Yesu Tukiwa na Ufahamu wa Yohana Mbatizaji (Luka 1:1-17)

Episode 12 January 23, 2023 01:00:21
12. Tumwamini Yesu Tukiwa na Ufahamu wa Yohana Mbatizaji (Luka 1:1-17)
Uhusiano Kati ya Huduma Ya YESU na Ile Ya YOHANA MBATIZAJI Kama Ilivyoandikwa Katika Injili Nne
12. Tumwamini Yesu Tukiwa na Ufahamu wa Yohana Mbatizaji (Luka 1:1-17)

Jan 23 2023 | 01:00:21

/

Show Notes

Nilipita hapa na pale kukunua ili kukunua mashine ya kudurufu na nikaona watu wengi walikuwa wametingwa wakijaribu kutafuta kitu kitakacho waridhisha. Walikuwa ni watu maskini kiroho pamoja na kuwa walikuwa wakiishi katika wakati huu ambapo ulimwengu huu umejaa vitu na utajiri. Walionekana kama vile watu wanaozunguka jangwani wakitafuta njia ya kuwawezesha kupata bilauri ya maji kwa sababu ya kiu kali. Kwa kweli kimtazamo walikuwa ni watu matajiri, wa kimwili, na wa kidunia, lakini kwa kweli nilipoziangalia nafsi zao nilihisi wakionekana maskini na waliotengwa. Kwa kuwatazama kwa macho yangu, walikuwa ni watu waliokuwa wakipigana na kifo kwa sababu walikuwa wamepigwa na umaskini na njaa katika roho zao; walikuwa ni watu waliokuwa wakifa kwa sababu ya njaa kali ya kiroho.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 8

January 23, 2023 00:23:34
Episode Cover

8. Ieneze Injili ya Kweli na Tendo la Haki la Yesu (Mathayo 3:1-17)

Ni hakika kuwa Yohana Mbatizaji alikuwa ni mtu muhimu sana katika Biblia. Yohana Mbatizaji aliwalilia watu wa Israeli ili wafanye toba. Ni lazima tuzikumbuke...

Listen

Episode 2

January 24, 2023 01:04:58
Episode Cover

2. Yohana Mbatizaji Hakushindwa (Mathayo 11:1-14)

Ni huduma gani hasa ambayo Yohana Mbatizaji aliitimiza kabla ya Yesu? Wakristo wengi leo hii hawamfahamu vizuri Yohana Mbatizaji, hivyo wanatakiwa kupata mtazamo mpya...

Listen

Episode 5

January 23, 2023 00:55:45
Episode Cover

5. Tuufurahie Utukufu wa Mungu Kwa Shukrani (Yohan 1:1-14)

Injili ya Yohana, Vitabu vitatu vya 1, 2, na 3 Yohana, na Kitabu cha Ufunuo ni Maandiko yaliyoandikwa na Mtume Yohana. Kwa kupitia Maandiko...

Listen