Nilipita hapa na pale kukunua ili kukunua mashine ya kudurufu na nikaona watu wengi walikuwa wametingwa wakijaribu kutafuta kitu kitakacho waridhisha. Walikuwa ni watu maskini kiroho pamoja na kuwa walikuwa wakiishi katika wakati huu ambapo ulimwengu huu umejaa vitu na utajiri. Walionekana kama vile watu wanaozunguka jangwani wakitafuta njia ya kuwawezesha kupata bilauri ya maji kwa sababu ya kiu kali. Kwa kweli kimtazamo walikuwa ni watu matajiri, wa kimwili, na wa kidunia, lakini kwa kweli nilipoziangalia nafsi zao nilihisi wakionekana maskini na waliotengwa. Kwa kuwatazama kwa macho yangu, walikuwa ni watu waliokuwa wakipigana na kifo kwa sababu walikuwa wamepigwa na umaskini na njaa katika roho zao; walikuwa ni watu waliokuwa wakifa kwa sababu ya njaa kali ya kiroho.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Katika Injili ya Yohana sura ya 1 aya ya 6-7 imeandikwa hivi kumhusu Yohana Mbatizaji “Palitokea mtu ametumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yohana....
Ni huduma gani hasa ambayo Yohana Mbatizaji aliitimiza kabla ya Yesu? Wakristo wengi leo hii hawamfahamu vizuri Yohana Mbatizaji, hivyo wanatakiwa kupata mtazamo mpya...
Watu wengi hawafahamu ni kwa nini Yesu alikuja hapa ulimwenguni na akaupokea ubatizo toka kwa Yohana Mbatizaji. Lakini ni lazima tufahamu vizuri kuhusu dhumuni...