5. Tuufurahie Utukufu wa Mungu Kwa Shukrani (Yohan 1:1-14)

Episode 5 January 23, 2023 00:55:45
5. Tuufurahie Utukufu wa Mungu Kwa Shukrani (Yohan 1:1-14)
Uhusiano Kati ya Huduma Ya YESU na Ile Ya YOHANA MBATIZAJI Kama Ilivyoandikwa Katika Injili Nne
5. Tuufurahie Utukufu wa Mungu Kwa Shukrani (Yohan 1:1-14)

Jan 23 2023 | 00:55:45

/

Show Notes

Injili ya Yohana, Vitabu vitatu vya 1, 2, na 3 Yohana, na Kitabu cha Ufunuo ni Maandiko yaliyoandikwa na Mtume Yohana. Kwa kupitia Maandiko haya, basi tunaweza kuona jinsi imani ya Mtume Yohana ilivyokuwa, na pia jinsi imani ya wanafunzi wa Yesu ilivyokuwa. Mtume Yohana aliamini kuwa Yesu alikuwa ni Mungu halisi aliyeumba ulimwengu wote na sisi wanadamu, na kwamba Mungu alikuwa ni Mwokozi wake na Mwokozi wa wanadamu wote. Sisi sote tunapaswa kuwa na aina hii ya imani.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 4

January 24, 2023 00:58:08
Episode Cover

4. Itazame Huduma ya Yohana Mbatizaji! (Luka 1:17-23)

Injili ya Luka katika sura ya 1 aya ile ya 17 inaeleza kuwa Yohana Mbatizaji alikuwa ni mtu aliyekuja katika roho na nguvu ya...

Listen

Episode 10

January 23, 2023 01:16:50
Episode Cover

10. Yesu Aliyekuja Kuzitoweshea Mbali Dhambi Zako (Mathayo 3:13-17)

Hata Wakristo wa leo wanakiri kuwa wanamwamini Yesu kuwa ni Mwokozi wao, lakini wengi wao hawafahamu kuwa Yesu ni Bwana aliyetukomboa toka katika dhambi...

Listen

Episode 6

January 23, 2023 00:51:37
Episode Cover

6. Je, Unazifahamu Huduma za Watumishi Wawili wa Mungu? (Yohana 1:30-36)

Kifungu cha maandiko cha leo kinatoka katika injili ya Yohana 1:30-36. Watumishi wa Mungu wanaoamini katika injili ya maji na Roho wanafahamu wote kuwa...

Listen